![]() |
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka Mohammed Samatta wa Mgambo |
![]() |
Simon Msuva wa Yanga SC, akimtoka Ramadhan Malima wa Mgambo |
![]() |
Amisi Tambwe wa Yanga SC akiwa ameruka kupiga mpira kichwa dhidi ya mabeki wa Mgambo |
![]() |
Beki wa Yanga SC, Kevin Yondan akiwa ameruka juu kugombea mpira na Malimi Busungu wa Mgambo |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akiwatoka mabeki wa Mgambo |
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.