0

Beki wa Yanga SC, Oscar Joshua akiwa hewani kuppiga mpira kichwa dhidi ya Salim Mlima wa Mgambo JKT katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Yanga SC ilishinda 2-0.
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka Mohammed Samatta wa Mgambo
Simon Msuva wa Yanga SC, akimtoka Ramadhan Malima wa Mgambo
Amisi Tambwe wa Yanga SC akiwa ameruka kupiga mpira kichwa dhidi ya mabeki wa Mgambo
Beki wa Yanga SC, Kevin Yondan akiwa ameruka juu kugombea mpira na Malimi Busungu wa Mgambo
Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akiwatoka mabeki wa Mgambo 

Post a Comment

 
Top