mbele ya gari ilikuwa hali hii
baadhi ya wahanga wakiangalia gari maeneo ya tukio
wananchi waliokuwa maeneo ya tukio
hali ya show ya mbele ya gari hali ni mbaya abirua walitokea mbele ya gari
baadhi ya wahanga wakiangalia gari maeneo ya tukio
wananchi waliokuwa maeneo ya tukio
hali ya show ya mbele ya gari hali ni mbaya abirua walitokea mbele ya gari
BASI LA PRINCE MARIA LENYE NAMBA T987CVA lillilotoka jijini Dar es salaam kwenda Liwale mkoani majira ya saa 5 na nusu asubuhi lilipata ajali maeneo ya Nangurukuru baada ya kushindwa kukunja kona na kudumbukia kwenye karavati na kujeruhi abiria,majeruhi idadi yake haikufamika mara moja lakini katika tukio hilo hayupo aliyepoteza uhai hadi kamera yetu inatoka eneo la tukio.
Post a Comment