tela lililo acha njia na kupinduka siku ya tarehe 2/12/2014 maeneo ya kijiji cha Zinga wilayani Kilwa ilokuwa linatokea Dar kuelekea Wilayani Liwale. |
tela lenye namba za usajili T 344 AFD |
angalia ajali |
tela lilikuwa halina mzigo |
katika ajali hii hayupo aliyepoteza uhai wala kujeruhiwa |
pia hali ya barabara ya Nangurukuru to Liwale ya ya kuridhisha |
Madereva unashauriwa kuwa makini muda huu wa mvua kwakuwa hali ya barabara na nyakati hizi za mvua hali ni tete |
Post a Comment