0

jengo la bodi ya mikopo
  1. Waombaji wanashauriwa kuhakiki vyeti vyao vya elimu
  2. Waombaji wanashauriwa kuwasilisha vyeti vyao vya kuzaliwa kwa ajili ya kuvihakiki kwa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA).
  3. Waombaji ambao wazazi wao wamefariki wanashauriwa kuwasilisha vyeti vya vifo kwa ajili ya kuvihakiki kwa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA).
  4. Waombaji na wadhamini wao wanakumbushwa kuweka sahihi kwenye ukurasa wa 2 na 5.
  5. Waombaji wanakumbushwa kuweka sahihi na mihuri ya Serikali za Mitaa na Kamishna wa Kiapo au Wakili.
  6. Waombaji wanatakiwa kupakia viambatanisho vyote vya muhimu pamoja na kurasa ya 2 na 5.
  7. Waombaji wanashauriwa kutunza nakala moja ya maombi.
  8. Waombaji wanatakiwa wazingatie siku ya ukomo wa maombi ambayo ni tarehe 15 Julai 2018.
  9. To view/complete your loan application, go to My Application link on the left side.
  10. Kwa kuangalia/kumalizia maombi yako ya mkopo, nenda kwenye My Application.

Post a Comment

 
Top