Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionJoachim Low
Kocha wa Ujerumani Joachim Low, mwenye umri wa miaka 58, ndiye anayepigiwa upatu kumrithi Arsene Wenger kama meneja wa Arsenal iwapo raia huyo wa Ufaransa ataondoka katika klabuhiyo msimu wa joto. (ESPN)
Kuna hisia miongoni mwa wachezaji wa Gunners ya kutopendelewa wanaolipwa mishahara mikubwa katika kalbu hiyo ya ligi ya England. (Times)
Kipa wa Manchester United David de Gea bado anasubiri pendekezo la mkataba mpya licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 raia wa Uhispania kusalia na miezi 16 katika mkataba aliyonao sasa. (Yahoo)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionRyan Sessegnon (kati kati)
Mchezaji wa Fulham Ryan Sessegnon anapendelea kuhamia Tottenham, lakini mchezaji huyo wa timu ya taifa ya England kwa wachezaji wa chini ya miaka 19 anawaniwa na pande tofuati katika ligi ya England. (mirror)
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Everton Dominic Calvert-Lewin, huenda akaitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya England wakati Kombe la dunia likitarajiwa msimu huu wa joto. (Mirror)
Ajenti wa mchezaji wa kiungo cha kati wa Liverpool Emre Can, 'amezuia majadiliano yote' kuhusu mustakali wa mchezaji huyo mweny umri wa miaka 24 raia wa Ujerumani. (Express)
Manchester United wanapanga mazungumzo ya mkataba mpya na mchezaji wa kiungo cha mbele mwenye umri wa miaka 22 raia wa Ufaransa Anthony Martial. (ESPN)
Matumaini ya Liverpool kumsajili mchezaji wa kiungo cha kati wa Barcelona Ivan Rakitic yameingia dosari huku mabingwa wa La Liga wakiwa na dhamira ya kuendelea kumzuia raia huyo wa Croatia (AS, kupitia Talksport)
Newcastle ndio wanaopigiwa upatu kumsajili mchezaji wa Porto mwenye umri wa miaka 36 ambaye alikuwa kipa wa Uhispania Iker Casillas katika uhamisho wa bure msimu huu wa joto. (Newcastle Chronicle)
Image captionIker Casillas
Brighton, Crystal Palace na West Ham zote zinamuwani mlinzi wa Lille Ibrahim Amadou, mwenye umri wa miaka 24, ambaye aliwahi kuwa mchezaji wa timu ya kimataifa ya vijana Ufaransa. (Le 10 Sport, kupitia Croydon Advertiser)
Kipa wa Liverpool Simon Mignolet yupo tayari kuondoka Anfield huku Napoli na Borussia Dortmund zote zikiwaza kumchukua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30. (DH )
AC Milan wanataka kumsajili mlinzi wa Porto Ivan Marcano wakati mkataba wa Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 30 ukimalizika msimu wa joto.(Calciomercato )
Mlinzi wa Sunderland Michael Ledger, anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka miwili na timu ya Norway Notodden FK. (Sunderland Echo)
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Margate Jordan Chiedozie, ametimuliwa kwa kumcheka mchezaji wa timu pinzani aliyeanguka katika mechi dhidi ya Leiston. (Kent Live)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.