Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionArsene Wenger
Uongozi wa timu ya Arsenal wamemgeukia meneja wao, Arsene Wenger na kuanza kuorodhesha majina mbadala kuchukua nafasi yake.
Wenger anasema "atapindua dunia chini juu" ilikubaki kama meneja wa Arsenal
Kazi yake katika timu hiyo iliwekwa utatani wakati alipokataa kudhibitsha kama ataendelea na mkataba wake unaoisha 2019. (Mirror)
Aliyekuwa rais wa timu ya Barcelona Joan Laporta, amesema anawahimiza Arsenal kumfikiria Thierry Henry kama mbadala wa Wenger.(Telegraph)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMlinzi wa West Brom Jonny Evans
West Ham iko tayari kumsiani mlinzi wa Ireland Kaskazini Jonny Evans, 30, kwa paundi milioni tatu kutoka kwa West Brom ikifika mwisho wa msimu. (Birmingham Mail)
Kiungo wa Arsenal na timu ya England, Jack Wilshere, 26 anasema atatoka kwenye klabu hiyo kati kati ya mwaka huu, wasipo mpatia mkataba bora zaidi. (Sun)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKiungo wa Arsenal Jack Wilshere
Manchester United kuachana na mipango ya kuupanua uwanja wa Old Trafford mwaka huu na kujikita zaidi katika kumuunga mkono Jose Mourinho katika kutafuta wachezaji.(Mail)
Winga wa Chelsea kutoka Brazil,Willian,29, anaweza iacha Stamford Bridge katikati ya mwaka na huenda akujiunga na timu ya AC Milan au Manchester United (Star)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Manchester United wameuongeza muda ya mikataba ya viungo Ashley Young, 32, na Daley Blind, 27, na ule wa mlinda mlango Sam Johnstone, 24
Mashetani hao wekundu wana waacha viungo Marouane Fellaini, 30, na Michael Carrick, 36, na mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic ambao watakuwa huru kuondoka na kwa usajili huru majira ya joto.
Alan Pardew atafukuzwa kazi itakapotekea WestBrom watashindwa na Watford Jumamosi. (Mirror)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionEmre Can
Nao Juventus wanatamani kumalizia kumsajili kiungo Emre Can, 24, ilikuzuia kuingia kwenye mndada wa kimataifa Ujerumani wakati wa majira ya joto. (La Gazzetta dello Sport)
Liverpool na Barcelona wamevutiwa na kiungo wa Lyon mwenye miaka 19, Houssem Aouar. Kijana huyo Mfaransa amecheza mara 17 kwenye Ligue ya kwanza. (Goal)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.