Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionRaheem Sterling
Mshambuliajia wa Manchester City na England Raheem Sterling, 22, atasitisha mazungumnzo kuhusu mkataba mpya huko Etihad hadi baada ya kombe la dunia. (Daily Mirror)
Mshambuliaji wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard anaendelea na mkataba mpya pauni 300,000 kwa wiki huko Stamford Bridge kwa matumaini ya kuwavutia Real Madrid. (Times - subscription required)
Haki miliki ya pichaREX FEATURESImage captionLuis Suarez
Mshambuliaji wa Barcelona Luis Suarez anasema kuwa mchezaji mwenzake wa zamani Neymar, ambaye kwa sasa yuko huko Paris St-Germain hawezi kujiunga na Real Madrid. (Marca)
Arsenal wana nia ya kumuuza Theo Walcott, 28, mwezi Januari huku klabu yake ya zamani ya Southampton na West Hama wakimzea mate wing'a huyo wa England. (Sun)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionDanny Rose
Nyota wa zamani wa Juventus Alessandro del Piero, anaamini mchezaji wa safu ya kati wa Liverpool mjerumani Emre Can, 23, atakuwa bora zaidi katika klabu hiyo ya Italia. (Liverpool Echo)
Mancheseter United wana uhakika kuwa watamsaini mlinzi wa Tottenham na England Danny Rose, 27, kwa pauni milioni 50 aidha mwezi Januari ua msimu ujao. (Daily Mail)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionRafael Benitez
Meneja wa New Castle Rafael Benitez anataka paunia milioni 20 mwezi Januari kuweza kuwanunua wachezaji watatu. (Daily Mirror)
West Ham watakabiliwa na ushindani kutoka Real Madrid kusaini Fyodor Smolov, 27, mshambuliaji wa Krasnodar na Urusi. (Daily Mail)
Real Madrid watajaribu kumsaini kipa wa Bilbao Kepa Arrizabalaga, 23, na mshambuliaji wa Inter Milan Mauro Icardi, 24, mwezi Januari. (Marca)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.