0



WAKULIMA  wa korosho  Mkoani  Lindi  wametakiwa  kudarajisha  korosho  zao  ili ziweze kupata  soko  la  uhakika , badaa  ya  kuziondoa korosho  ndogo, mbovu  na  zisizo  faa  kupelekwa  sokoni

UShauri  huyo  umetolewa  na  Afisa  bodi  ya  korosho  wakati  alipokuwa  anazungumza  na  wakulima  wa  korosho wilaya  Ruangwa  Kijiji  cha  Mandawa  kwenye  Mnada  wa  korosho  uliofanyaka  jumapili  mwishoni  mwa  week

kwa  upande  wake meneja  mkuu wa  Chama  kikuu cha  Runali   Mohamedi  Mway aliwataja  wanunuzi  31  walioshiriki MNADA  huyo   kwa  bei  ya  kwanza  3875 na  ya  mwisho 3860 

Post a Comment

 
Top