0
Kombe linaloshindaniwa kwa mwaka wa pili ambapo mwaka jana kombe hilo mabingwa walikuwa timu ya Halmashauri ya wilaya ya Liwale (HAWILI FC)

16.10.2017 JUMATATU>  NEW BOYS FC Vs LEOPARD FC

17.10.2017 JUMANNE>    MITUMBA FC Vs SUPER STARS FC

18.10.2017 JUMATANO>    HAWILI FC Vs KIGAMBONI FC

19.10.2017 ALHAMISI>    NGONGOWELE FC Vs NEW VISION FC


Angalia viongozi wa timu walivyokabidhiwa jezi kwa kubofya >>HAPA <<
VIDEO; Mratibu wa mashindano akiongea mara baada ya kugawa vifaa vya michezo

Post a Comment

 
Top