Haki miliki ya pichaGOOGLEImage captionPhilippe Coutinho
Barcelona wapo tayari kutoa pauni milioni 80 kumtaka Philippe Coutinho, 25, kutoka Liverpool. (Sunday Mirror)
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi, 30, ameiambia klabu yake kumsajili mshambuliaji wa Juventus Paulo Dybala, 23. (Don Balon)
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp amesema Coutinho "ametulia" Liverpool baada ya klabu hiyo kuzungumza naye kufuatia hatua ya Barcelona kumtaka. (ESPN FC)
Liverpool hatimaye wamefikia makubaliano na RB Leipzig ya pauni milioni 75 ili kumsajili Naby Keita. (Winner Sports)
Meneja wa Arsenal amekanusha taarifa kuwa Alexis Sanchez, 28, anakaribia kuhamia Paris Saint-Germain kwa pauni milioni 70. (Standard)
Alexis Sanchez anataka mshahara wa pauni 500,000 kwa wiki kutoka Paris Saint-Germain, huku akikaribia kuhamia Paris. (The Mirror)
Haki miliki ya pichaGOOGLEImage captionAlexis Sanchez
Liverpool na Arsenal wameonesha dalili za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Lucas Vasquez. (Diario Madridista)
Chelsea wanapanga kuzungumza na Arsenal kuhusiana na Alex Oxlade-Chamberlain, 23. (Sky Sports)
Chelsea wanamfuatilia winga wa Montreal Impact Ballou Jean-Yves Talba, baada ya Didier Drogba kuwaambia kuhusu mchezaji huyo. (Sun)
Manchester United wana uhakika wa kumsajili kiungo wa Chelsea Nemanja Matic, 28, baada ya kumkosa Eric Dier, 23, wa Tottenham. (Guardian)
Mipango ya Manchester United kutaka kumsajili kiungo wa PSG, Marco Verratti, 24, kwa pauni milioni 60 imesitishwa kwa muda baada ya PSG kusema inamtaka Anthony Martial, 21. (Sunday Mirror)
Jose Mourinho amesema "ana uhakika" David de Gea atabakia Manchester United msimu huu, baada ya Real Madrid kushindwa kutumia nafasi ya kumsajili kipa huyo. (Sky Transfer Centre)
Manchester United sasa wamemgeukia kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal, wakati wakitafuta kiungo mpya. (Daily Star)
Haki miliki ya pichaAFPImage captionArturo Vidal
Beki wa Manchester United Matteo Darmian, 27, amesema haendi popote licha ya taarifa kumhusisha na kurejea Italy. (Press Association)
Real Madrid wametengeneza orodha ya washambuliaji inayowataka, ikiwa watamkosa Kylian Mbappe. Miongoni mwao ni Marcus Rashford wa Manchester United, Pierre Emerick-Aubameyang wa Borussia Dortmund na Timo Werner wa RB Leipzig. (Diario Gol)
Real Madrid watamsajili mshambuliaji wa Ajax Kasper Dolberg pamoja na Domenico Berardi wa Sassuolo, iwapo watamkosa Kylian Mbappe. (Marca)
Real Madrid wamewaambia Monaco watawapa Karim Benzima kama sehemu ya mkataba wa kumsajili Kylian Mbappe. (The Sun)
Chelsea wamemuulizia winga wa Inter Milan Antonio Candreva, ili kuogeza ushindani Stamford Bridge. (the Sun)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAntonio Candrev
Kiungo wa Manchester City Kevin de Bruyne, 26, amesema ana matumaini klabu yake itanunua mabeki wengine kadhaa msimu huu. (Manchester Evening News)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.