Gari moja
lilipoteza mwelekeo katika mji wa Taizhou uliopo mashariki mwa China
,kuteleza barabarani na kuanguka katika paa la nyumba.
Dereva wake
alisema kuwa alijaribu kuzuia ajali ya ana kwa ana na bahati mbaya
akakanyaga kichapuzi cha gari alipokuwa akibadilisha mwelekeo wa gari
hilo.- Ashtakiwa kwa kuendesha gari akiwa amesimama
- Kwa nini Trump hataendesha gari tena
- Upepo wang'oa paa la jengo la bunge Ghana
- Picha ya mvulana wa Syria iliyowasikitisha wengi
Post a Comment