0


Mwaandishi  wetu
MKUU  wa  mkoa  wa  Lindi  akipokea  Hundi  ya  shilingi  milioni 40  kutaka TPDC  Kwa ajili  ya  ujenzi  wa vyoo Lindi
Mwaandishi  Wetu  Lindi
Mkuu  wa  mkoa  wa  Lindi Godfrey  Zambi ameliomba  shirika la maendeleo ya mafuta nchini(TPDC) kuangalia upya utaratibu wa utoaji fidia kwa wananchi ili ziendane na mradi unaojengwa  mradi ambao   maandalizi ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata gas mkoani  .
 
 Godfrey Zambi alitoa ushauri  huo wakati wa hafla ya kupokea msaada wa shilingi milioni 40 kutoka kwa shirika la maendeleo ya mafuta nchini (TPDC)wenye lengo la kuongeza juhudi za ujenzi wa vyoo katika shule za msingi mkoani Lindi uku akiomba msaada zaidi katika ujenzi wa miundombinu mingine.
 
Akikabidhi msaada huo kaimu mkurugenzi wa shirika hilo Isamail Naleja amesema msaada huo ni moja ya jitihada zake katika kuunga mkono shunguli za maendeleo ikiwa pia ni kutaka kuhamasisha jamii juu ya mchango wa shirika hilo ambalo kwasasa mihundo mbinu yake ipo karibu na jamii.  
 
Shirika la maendeleo la` la petrol nchini limeanza utafiti wa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata gas mkoani Lindi na linatarajia kukamilisha ujenzi huo ifikapo mwaka 2023


 DC Lindi  NDEMANGA akipokea  hundi  kwa mkuu  wa  mkoa  wa Lindi ZAMBI
Mkuu  wa  mkoa  akimkabidhi  Hundi  Mkurugenzi  wa  Manispaa  ya  Lindi  hundi ya shilingi  milioni 40  kwa  ajili ya  ujenzi  wa  vyoooo
mkuu  wa  mkoa  wa Lindi Zambi  akizungumza  na Tpdc

Post a Comment

 
Top