0
43dd703f-c6de-4e3e-ad03-0ef2f9745665
Mpiga picha maarufu Mpoki Bukuku amefariki dunia leo desemba 22, 2016 katika Taasisi ya Mifupa (MOI), alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Taarifa zinasema Mpoki amefariki dunia mchana huu na alipokelewa taasisi ya MOI jana usiku baada ya kupata ajali ya gari maeneo ya Mwenge ITV.
Mpoki Bukuku amewahi kufanya kazi kama Mpiga Picha Mkuu katika gazeti la Mwananchi pia amewahi kufanya kazi magazeti kadhaa likiwemo Majira na Nipashe.
 

Post a Comment

 
Top