0

 Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mhe. James Karayemaha (kusoto) ambaye ni Mwenyekiti wa Timu iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana kwa maelekezo ya Waziri Mkuu kwa lengo la kukusanya Malalamiko, kero na hoja za wafungwa na Mahabusu kwenye magereza mjini Dodoma akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Dodoma taarifa ya kazi hiyo mara baada ya kuikamilisha mapema leo.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana (wa sita kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa timu ya kukusanya Malalamiko, kero na hoja za wafungwa na Mahabusu kwenye magereza mjini Dodoma, aliyoiunda kwa maelekezo ya Waziri Mkuu wakati timu hiyo ikimkabidhi taarifa ya kazi hiyo mapema leo.

Post a Comment

 
Top