0

Mwezi mkubwa zaidi kuonekanaWATAZAMAJI  wa anga wanajiandaa kuuona mwezi mkubwa zaidi wakati ambapo utakaribia dunia tangu 1948.
Taarifa zinasema kwamba Uingereza itakuwa na fursa nzuri kuuona mwezi huo siku ya Jumatatu jioni,licha ya kuwa utakaribia dunia mwendo wa saa tano na dakika 21 muda wa GMT ambapo utakuwa umbali wa kilomita 356,509.
Wachunguzi watauona mwezi huo kuwa mkubwa zaidi kwa asilimia 7 ukilinganishwa na mwezi wa kawaida na kung'aa zaidi ya asilimia 15, licha ya kwamba macho ya binaadamu yanaweza kupambanua tofauti hiyo.
Huku mwezi huo ukitarajiwa kutokaribia dunia hadi tarehe 25 mwezi Novemva 2034, idara ya maswala ya hewa nchini Uingereza imesema kuwa kutakuwa na mawingu mazito wakati mwezi huo utakapokaribia.
Huku mwezi ukizunguka dunia,kuna tofauti ya mwangaza unaotolewa na jua.Ni wakati huo ambapo mwezi wote humulikwa na mwangaza huo na kutoa mwezi mkubwa zaidi.


_92428498_davidmurton3
_92428501_roy_mcdonald
_92428504_zsolt_berend_2
_92428727_marcusrobinson
_92428730_priyanka_paltanwale_3
_92428733_rachel_rose
_92428735_toshiebarth
_92429167_jonathanpotten
_92429170_ianharris
_92429173_keithlawson
_92429176_gerrygutteridge
_92429652_edwinjones
_92429655_davidjgreer
_92429658_lornaabrahams
mwezi-2
mwezi-3
mwezi-4

Post a Comment

 
Top