0

Unaweza kufikiri mpaka sasa dunia nzima inafahamu kuwa Donald Trump ndiye raisi mteule wa Marekani lakini sio hivyo sababu kwenye taifa la Korea Kaskazini bado vyombo vya habari vya taifa mpaka sasa havijatoa habari yoyote ya  ushindi wa Donald Trump kwenye Urais Marekani.

Mwandishi Chris Greenway wa BBC aliandika kwenye mtandao wa Twitter kwa kusema  Leo ni Jumatatu hapa Korea Kaskazini ambapo mpaka sasa vyombo vya habari vya taifa havijawataarifu Wananchi wake juu ya matokeo ya uchaguzi nchini Marekani.’

Post a Comment

 
Top