Chadema
imeibwaga serikali mahakamani baada ya mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa
Simiyu kuzitupilia mbali hoja za upande wa mashitaka za kuzuia dhamana
kwa viongozi na wanachama wa Chadema wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi.
Pia polisi walizuia msafara wa Mbowe wakati ukitoka mahakamani kwa muda wa Dk 45.Wote wamepatiwa dhamana.Tazama picha hapa kutoka kwa mwandishi wetu aliyeko Simiyu,Samwel Mwanga kilichojiri
Post a Comment