0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana kwa kukumbatiana kwa furaha na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein alipowasili katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Pemba Septemba 2,2016
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kabla ya kuhutubia mkutano wa katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba
LEO ASUBUHI-Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dar es Salaam katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akielekea Kisiwani Pemba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya kuzungumza na wanachi wa Kisiwa hicho.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Abdallah mara baada ya kuwasili kisiwani humo kwa ziara ya siku moja Septemba 2, 2016


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia ngoma ya kuyumbizi mara baada ya kuwasili Kisiwani Pemba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka shada la maua katika Kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika awamu ya Tatu katika kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba Septemba 2,2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisali kwenye kaburi hilo la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba.

Mama Janeth Magufuli akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa mkewe Mama Janeth Magufuli Magufuli wakiomba dua iliyokuwa ikiongozwa na Kiongozi wa dini ya Kiislamu Shekhe Mohamed Suleiman mbele ya kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli azungumza mara baada ya tukio la uwekaji mashada katika kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba.
 PICHA NA IKULU

Post a Comment

 
Top