Hayo yameelezewa wahitimu wa vyuo vikuu nchini Rwanda ambao bado wanatafuta ajira katika siku maalum inayotengwa na serikali kuwakutanisha na wakuu wa makampuni na taasisi mbali mbali ambazo bado zina nafasi ya kazi kwa ajili ya kuwapa fursa kujaribu bahati hayo.
Vijana watakiwa kutotegemea serikali kwa ajira Rwanda
Hayo yameelezewa wahitimu wa vyuo vikuu nchini Rwanda ambao bado wanatafuta ajira katika siku maalum inayotengwa na serikali kuwakutanisha na wakuu wa makampuni na taasisi mbali mbali ambazo bado zina nafasi ya kazi kwa ajili ya kuwapa fursa kujaribu bahati hayo.

Post a Comment