Timu ya Argentina
Timu ya taifa ya Argentina bado inaongoza orodha ya kila mwezi ya FIFA ya timu bora duniani ambayo imetolewa Ijumaa.
Kwenye
orodha hiyo timu ya taifa ya Ubelgiji iko kwenye nafasi ya pili
ikifwatiwa na Chile.Ujerumani ni ya 5,ikifwatiwa na Uhispania na Brazil
inachukua nafasi ya saba.
Timu ya bara la Afrika inayochukua
nafasi nzuri kwenye orodha hiyo ya FIFA ni Algeria iliopo katika nafasi
ya 33 ikifwatiwa na Ivory Coast katika nafasi ya 34.
Kwa nchi za
Afrika mashariki Uganda 72;Rwanda 87 kenya 116 Burundi 122 na Tanzania
inachukua nafasi ya 129 kwenye orodha hiyo ya FIFA.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.