Baadhi ya Nyumba za makazi, huduma mbalimbali na vijiwe vya kufanyia
biashara eneo la Chalinze nyama Dodoma vikiwa vimezingirwa na maji
(mafuriko) kufuatia mvua kubwa iliyonyesha mkoani humo usiku wa kuamkia
April 4, 2016.
Baadhi ya Wakazi wa eneo la Chalinze nyama Dodoma wakihamisha mali zao baada ya makazi yao kuzingirwa na maji (mafuriko) kufuatia mvua kubwa iliyonyesha mkoani humo usiku wa kuamkia April 4, 2016.
Baadhi ya magari ya kubeba abiria mapema leo yalinusurika kusombwa na mafuriko yalipojaribu kuvuka barabara eneo la Chalinze nyama Dodoma
Baadhi ya Wakazi wa eneo la Chalinze nyama Dodoma wakihamisha mali zao baada ya makazi yao kuzingirwa na maji (mafuriko) kufuatia mvua kubwa iliyonyesha mkoani humo usiku wa kuamkia April 4, 2016.
Baadhi ya magari ya kubeba abiria mapema leo yalinusurika kusombwa na mafuriko yalipojaribu kuvuka barabara eneo la Chalinze nyama Dodoma
Post a Comment