0
 Hapa ni moja ya majenga ya shule ya msingi Kimambi iliyopo zaidi ya kilometa 40 kutoka wilayani Liwale mkani Lindi
 DC akiangalia mazingira ya shule huku akutana na changamoto nyingi shuleni hapo
 Ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kimambo akiwa imechakaa na kujaa kwa popo na husabisha kuwa na harufu mbaya

 Baada ya kufungua mlango chumba cha walimu kama unapojione picha ya hapo juu jinsi ya popo walivyokimbizana
                    DC akiangalia popo jinsi walivyojaa juu ya ukuta

                    



 Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kimambi bwana Jafari Mnuga akiangalia ofisi yake kwa juu ikiwa na imejengwa na wadudu

 Taswira ya madara ya shule ya msingi Kimambi
 Shule msingi Kimambi kila darasa lina madawati 6 kama unavyoona hapa pichani
 Ofisi ya WEO bwana Matiusi Yebeti wa kijiji cha Kimambi ikiwa katika mazingira machafu

 Zahanati ya kijiji cha Kimambi iakiwa dirisha halina bawaba wameshindwa hata kukarabati kugongea bawaba moja






 Dc akishauriana na meya jinsi ya hali waliyoikuta
 Choo cha zahanati ya kijiji cha Kimambi kikiwa kichafu,na kina tundu moja tu linalotumika

 zahanati yakutwa inatundu moja la choo kinachotumika na ofisi ya weo haina choo inategemea choo cha zahanati pia choo hicho kimejengwa kichini ya kiwango
 mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kimambi akiwa ofisini kwake baada ya mgeni kuingia shuleni hapo

 DC akiomba ruhusa kwa walimu kuingia chumba kilichofungwa na kukuta popo wakikimbizana juu ya ukuta
hapo picha baadhi ya popo baada ya kufungua mlango hali ilikuwa hivyo

 DC akisahini kitabu cha wageni kwenye ofisi ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kimambi

 hii ndio taswira ya shule ya msingi Kimambi
 DC akiwa moja ya madarasa ya shule ya msingi Kichonda akiangalia hali halisi ya majengo na ashauri majengo ya zamani pamoja na madawati mabovu kuyakarabati ili kupunguza uhaba wa madawati pamoja na madarasa

hii ilikuwa ziara ya ghafla ya mkuu wa wilaya ya Liwale mh.Ephraim Mmbaga alioambatana na meya na viongozi mbalimbali wa idara ya ujenzi na elimu katika kijiji cha Kimambi na Kichonda.
DC ajionea baadhi ya miradi katika kijiji cha Kimambi imejengwa chini ya kiwango miradi hiyo ikiwa choo cha zahanati pamoja na choo cha mtushi wa afya amemwagizi anahusika na ukandarasi wa vyoo hivyo afatiliwe na kutaka maelezo.(Picha zote na Liwale Blog)

Post a Comment

 
Top