Mara ya mwisho kwa Yanga na Al Ahly kukutana katika michuano hii ilikuwa msimu wa 2013/14 ambapo Yanga walishinda 1-0 mjini Dar es Salaam na Al Ahly kushinda 1-0 huko Misri na Al Ahly kusonga mbele baada ya kushinda kwa mikwaju ya penalti 5-3.
Pluijm amesema kuwa anaijua Al Ahly ni timu ngumu na inabidi wajipange ili waitupe nje.
Yanga na Al Ahly zitakutana Aprili 8-10 mjini Cairo, Misri kwa mechi ya mkondo wa kwanza, na mechi ya marudiano itachezwa Aprili 19-20 Dar es salaam.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.