Kura zimeanza kupigwa katika jimbo la Ohio na Florida yote yakionekana kuwa muhimu pamoja na majimbo ya Carolina Kaskazini ,illinois na Missouri.
Mgombea wa chama cha Democratic aliye kifua mbele Hillary Clinton atatumai kwamba atafanikiwa kum'bwaga mpinzani wake wa karibu Bernie Sanders .
Bilionea huyo anapigiwa upatu kushinda uteuzi wa mgombea wa Republican lakini anakabiliwa na upinzani katika chama cha Republican pamoja na chama cha Democrats.
Aliandikisha ushindi wa mapema siku ya jumapili wakati aliposhinda wajumbe wote tisa katika kisiwa cha Kaskazini cha Mariana.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.