0

Ajali Mbaya imetokea eneo la Tabata Matumbi, Ajali iliyohusisha Lori la Ng'ombe na Daladala iliyo kuwa ikitokea Gongo la Mboto kuelekea Ubungo 
Abiria kadhaa Wamepoteza Maisha na wengine wengi Wamejeruhiwa Vibaya sana




Watu ambao idadi yao bado haijafahamika maramoja wanasadikiwa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa kufuatia ajali iliyo husisha gari tatu likiwemo la basi la abiria lifanyalo safar zake Gongo la Mboto Simu2000, Lori lililobeba mchanga na Lori lililokuwa limebeba N'ombe lililokuwa linaelekea vingunguti hv leo Tabata Matumbi Dar es Salaam 

Post a Comment

 
Top