0

Ripoti kutoka Dodoma leo asubuhi ni hii ya ajali ya gari la mafuta lililodondoka na kulipuka katika eneo la Kibaigwa, hadi sasa hakuna taarifa kamili ya ajali hii. Endelea kukaa karibu na millardayo.com ili zikinifikia nikusogezee kwa wakati.
IMG-20160207-WA0004
Gari la mafuta likiendelea kuteketea kwa moto
IMG-20160207-WA0005
.
IMG-20160207-WA0006
IMG-20160207-WA0007
Wananchi wakishuhudia ajali
IMG-20160207-WA0008
IMG-20160207-WA0009

Post a Comment

 
Top