0



Mkuu wa Ukaguzi wa ndani toka Wizara ya Fedha na Mipango Bw.Mohamed Mtonga akiwaeleza waandishi wa Habari kuhusu miongozo mbalimbali iliyolewa na Serikali ikiwa ni moja ya hatua za kuimarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani katika Wizara na Taasisi za Serikali kote nchini ili kuongeza tija,kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara Hiyo Bi. Ingiahedi Mduma na kushoto ni Kaimu Mkaguzi mkuu wa ndani bW. Chotto Sendo.
Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano wa Wizara ya fedha na Mipango uliofanyika leo jijini Dar es salaam ukilenga kuelimisha umma juu ya namna Serikali inavyochukua hatua katika kuimarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani ikiwemo kuvipatia vifaa vya kisasa ili viweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.

Post a Comment

 
Top