Mchezaji
bora Afrika ,Mbwana Samatta akizungumza na waandishi wa habari Januari
9, 2016 katika Hotel ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam kuhusu tuzo
aliyoshinda ya mchezaji Bora Afrika na kuwashukuru wapenzi, na wadau wa
mpira wa miguu Tanzania waliojitokeza uwanja wa ndege wa JK Nyerere
kumpokea (katikati), Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.
Nape Moses Nnauye, na kushoto Mkurugenzi wa Msaidizi wa maendeleo ya
Michezo,Bi Juliana Yasoda.
Mkurugenzi
wa Msaidizi wa maendeleo ya Michezo,Bi Juliana Yasoda (kushoto),
akiteta jambo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye wakati wa mkutano huo.
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akijibu
maswali kutoka kwa waandishi wa habari wakati Mchezaji bora Afrika
,Mbwana Samatta akielezea tuzo aliyoshinda ya mchezaji Bora Afrika.
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
(kushoto), akiwa ameongozana na Mchezaji bora Afrika ,Mbwana Samatta
wakiondoka mara baada yakumalizika kwa mkutano na waandishi wa habari
katika Hotel ya Hyatt Regency Dar Es Salaam.
Mchezaji bora Afrika ,Mbwana Samatta akiwa na tuzo yake ya mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ndani.
Mchezaji
bora Afrika ,Mbwana Samatta akiwa kwenye gari la wazi na tuzo yake ya
mchezaji Bora wa Afrika tayari kuelekea Escape One Mikocheni.
Picha zote na Philemon Solomoni-Fullshangweblog.
Post a Comment