Ni taarifa ya ajali ya basi la abiria ambalo limegonga lori la mizigo kwa nyuma na kusababisha vifo vya watu wawili pamoja na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa.
Wapumzike kwa amani wote waliofariki, na majeruhi wapate ahueni mapema.
Hizi ni picha nne kutoka eneo la ajali nilizozipata Michuzi Blog
Post a Comment