Kitu cha mwisho kimegusa headlines kuhusu mwanariadha wa South Africa, Oscar Pistorius ilikuwa ishu ya kuachiwa kutoka gerezani na kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwa mjomba wake, Pretoria.
Mambo huenda yakabadilika, mashtaka ya Oscar Pistorius
yamerudishwa tena Mahakamani ambapo safari hii kesi inabadilishwa na
waendesha mashtaka wametaka hukumu yake iwe ya mauaji ya kukusudia na
sio ya mauaji ya bahati mbaya.
Oscar Pistorius
tayari amekaa jela mwaka mmoja katika hukumu ya miaka mitano aliyopewa
kabla ya kuhamishiwa kuendelea na hukumu ya kifungo cha nyumbani ambacho
anatumikia nyumbani kwa mjomba wake, Pretoria.
Post a Comment