0




Jeshi la polis wilayani liwale kwa kushirikiana na wananchi baada ya msako mkali wamefanyikiwa kumkamata Limu Punda mtuhumiwa huyo aliyetenda kitendo cha kikatili namo decemba 1,mtuhumiwa alikamatwa katika mashamba ya kajiji cha Mpengele kata ya Makata tarafa ya Mkata wilayani Liwale mkoani Lindi namo majira ya saa 2 usiku  jana  desemba 2.

Kamanda wa polisi wilayani Liwale Raphael Mwandu alisema taarifa walipata kutoka kwa wasamilia wema baada ya muona Limu Punda akiwa amechoka baada ya kutembea umbali mrefu na kukosa chakula ndipo walipotoa taarifa kituoni hapo na polisi kwenda  kijijini huko na kufanyikiwa kumkamata na sasa mtuhumiwa yuko mahabusu.

                              KUANGALIA PICHA BOFYA HAPA

Post a Comment

 
Top