0

 NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Wizara Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Mhe: Tahir Abdalla akizuwiya kazi ya Uchimbaji wa mashimo kwa ajili ya kusimamisha nguzo za kampuni ya Simu ya Hallo tell, baada ya kampuni hiyo kukiuka taratibu za uwekaji wa nguzo hizo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

WATENDAJI wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Pemba, kulia ni Afisa mdhamini wa Wizara hiyo Hamad Ahmed Baucha mwenye karatasi, kushoto ni Injia mkaazi wa Wizara hiyo Khamis Massoud akiwaonyesha kitu, wakati walipokuwa wakikagua moja ya mikataba ya kmpuni ya simu ya Hallo Tell, baada ya kusimamisha kazi ya uchimbaji wa mashimo kwa ajili ya uwekaji wa nguzo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Post a Comment

 
Top