0


DSCF9789.JPGMratibu wa wilaya Ali Ligai akifungua mafunzo ya utafiti wa Uwezo
Mratibu wa mashirika Mwamvuli wilaya Liwale mkoani Lindi,Ali Ligai akifungua mafunzo ya siku mbili ya  utafiti wa UWEZO katika ukumbi wa Tengeneza Hall leo.
mafunzo hayo yatahusu utafiti wa watoto wenye umri wa miaka 7-14 wanaosoma shule za msingi darasa la pili ili kuwapima kama wanauelewa wa kujua kusoma na kuhesabu.
DSCF9790.JPGMahojaji wa kijiji wakisoma mkataba watakao jitolewa mara baada ya kufunzu mafunzo
UWEZO ni neno la kiswahili lenye maana ya kipawa/umahiri  shirika hili linafanya kazi kote Afrika masharika (Kenya ,Tanzania na Uganda) inatathmini watoto katika stadi za msingi wa kusoma na kuhesabu.

Post a Comment

 
Top