Wayne Rooney
Manchester United imepata ushindi wa mteremko wa mabao 3-0 pale ilipomenyana na Ipswich Town katika mchezo wa kombe la ligi.
Wakati huohuo ligi kuu ya soka ya nchini Hispania,La Liga iliendelea hapo jana ambapo Real madrid waliondoka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Athletic Bilbao huku Barcelona wakichabangwa mabao 4-1 kutoka kwa Celta Vigo.
Post a Comment