Wakala wa Manunuzi mkoa wa Lindi GPSA wakiwa Hospitali ya mkoa wa Lindi Sokoine kusaidia wagonjwa misaada ya vifaa mbalimbali , ikiwemo, sabuni, maziwa, na nguo
Meneja wa wakala wa Manunuzi mkoa wa Lindi GPSA akimkabidhi mama Mohamedi aliyelazwa katika hospitali ya Sokoine Msaada wa vifaa mbalimbali
Wafanyakazi wa hospitali ya mkoa Lindi sokoine pamoja wafanyakazi wa wakala wa Manunuzi GPSA wakiwa kwenye picha ya pamoja
Meneja wa wakala wa Manunuzi mkoa wa Lindi GPSA akimkabidhi mama Mohamedi aliyelazwa katika hospitali ya Sokoine Msaada wa vifaa mbalimbali
Wafanyakazi wa hospitali ya mkoa Lindi sokoine pamoja wafanyakazi wa wakala wa Manunuzi GPSA wakiwa kwenye picha ya pamoja
Post a Comment