0

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein akiwasha Mwenge wa Uhuru Kitaifa katika uwanja wa Majimaji mjini Songea Mkoani Ruvuma mapema wiki hii. Kushoto ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii, Vijana, Wanawake na WatotoZanzibar, Zainab Mohammed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Kiongozi wa Mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa Juma Khatib Chum baada ya kuuwasha jana katika uwanja wa Majimaji Songea Mkoa wa Ruvuma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akihotubia jana mjini Songea wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani Ruvuma.

Post a Comment

 
Top