0
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ianatrajiwa kuendelea Leo jumatano kwa mchezo mmoja kupigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, kwa wenyeji JKT Ruvu kuwakaribisha vinara wa ligi hiyo timu ya Young Africans.

 

Post a Comment

 
Top