- Wakutana kwa mara ya kwanza na kufahamiana
- Serikali yaonyesha nia ya kufanya kazi pamoja
- Baadhi za balozi zaonyesha ushirikiano
- AMI group, Vodacom, na NMB wadhamini usiku huo
Mwenyekiti wa Umoja wa Mablogger Tanzania Joackim Mushi akiongea wakati wa hafla hiyo
Mgeni Rasmi wa usiku huo Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT),Ndg. Kajubi Mukajanga akiongea na Mablogger wakati wa sherehe
Mkurugenzi wa Masoko kwa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania ambao walikuwa mmoja wa wadhamini wa usiku huo ,Kelvin Twissa akizungumza machache
katika hafla hiyo.
Mwakilishi
kutoka US Embassy akizungumza jambo na mbele ya Wamiliki wa Blogs
Tanzania,waliokutana pamoja leo kwa lengo la kufahamina na kuunganisha
vyema umoja wao.
Mmoja wa Wakongwe kwa masuala ya kublog hapa nchini,Ankal Issa
Michuzi akifafanua jambo kwa wageni waalikwa toka Ubalozi wa Marekani
wakati wa sherehe hiyo
Ras - Jhikoman akilia na wauwaji wa Albino
Baadhi ya wamiliki wa Blogs mbali mbali wakiwa
kwenye picha ya pamoja na Mgeni Rasmi katika hafla maalum ya mwaka kwa
Tanzania Bloggers Network,iliyofanyika usiku wa tarehe 28/2/2015
kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar es salaam.
Mgeni Rasmi alipata wasaa wa kuzungumza na kupiga picha na baadhi ya Mablogger
Ndafu
Muda wa kutolea macho Camera na kubadilishana mawazo ulifika
Mambo ya Selfie yalianza
Muda muafaka kwa watu muafaka ulifika
Picha kwa hisani ya Mkala wa Kero nyingi na
Post a Comment