BEKI ALIPOOSHA KICHWA CHA MSHAMBULIAJI BADALA YA MPIRA
Mchezaji
wa timu ya Herediano alikimbizwa hospitali baada ya kupigwa buti
kichwani wakati wa michuano ya ya Ligi ya Mabingwa Amerika Kusini chini
ya Shirikisho la Soka barani humo (Concacaf).Mechi hiyo ya nusu fainali
kati ya Herediano ya Costa Rica dhidi ya Club America tukio hilo
liliwashitua wengi uwanjani hapo.Huku dakika zikiwa zinayoyoma, beki wa
Club America Paolo Goltz alikuwa akiosha mpira lakini buti lake
liliishia kichwani mwa Cristhiam Lagos.
Post a Comment