Mgonjwa wa Ebola Yardolo akituhusiwa kwenda nyumbani
Wiki mbili zilizopita mgonjwa wa mwisho wa ugojwa wa ebola (Beatrice Yardolo) aliruhusiwa kuondoka hospitalini kwenye mji mkuu wa nchini hiyo Monrovia.
Liberia ilikuwa imesalia na siku 40 kabla ya kutangazwa kuwa isiyo na ugonjwa wa ebola kulingana na taratibu za shirika la afya duniani WHO.
Zaidi ya watu 4000 wameaga dunia nchini Liberia kutokana na ugonjwa wa ebola.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.