JE HII TUIGE WATANZANIA?
HII TZ
HII STAILI KWA AKINADADA
STAILI YA CHUONI
Duniani
kuna mambo, hivi majuzi walimu wa shule moja (kapuni) barani Africa
wamekuja na mbinu mbadala ya kuwadhibiti wanafunzi wasiopenda kusoma na
kutegemea kupiga chabo darasani wakati wa mitihani. Baada ya walimu hao
kuchoshwa na Tabia hiyo waliamua kubuni mbinu hii mbadala. Kwamba
mwanafunzi anafungwa pende zote mbili na kubakizwa na balance ya kusoma
kwenye karatasi yake tu. Inasemekana kuwa mbinu hii imeonekana kufanya
kazi vizuri kwani wanafunzi hao baada ya kufanyiwa majaribio walishindwa
kabisa kupata chance ya kupiga chabo....Je inatufaa pia
watanzania?????? Na je mbinu hii in-reserve haki za binadanu????
NJIA HII INAWEZA KUSAIDIA KWA HAPA TANZANIA
Post a Comment