KAMATI BUNGE YA SHAURI
..Mwaandishi wetu
Kamati bunge ya kudumu ya serikali za mitaa na tawala za mikoa imezitaka halmsahuri zote nchini kuanzisha kikundi kazi maalumu cha kufanya utafiti, kupitia,kuhakiki na kufanyia tathimini vyanzo vya mapato ili kubaini mianya ya uvujaji na mamna ya kuvithibiti na kubuni nyanzo vipya vya mapato.
..Mwaandishi wetu
Kamati bunge ya kudumu ya serikali za mitaa na tawala za mikoa imezitaka halmsahuri zote nchini kuanzisha kikundi kazi maalumu cha kufanya utafiti, kupitia,kuhakiki na kufanyia tathimini vyanzo vya mapato ili kubaini mianya ya uvujaji na mamna ya kuvithibiti na kubuni nyanzo vipya vya mapato.
Agizo hilo
limetolewa na kamati hiyo baada ya kutembelea
kwenye wilaya tatu za mkoa wa Lindi ambazo ni Lindi manispaa, Nachingwea, na Kilwa na kubaini kuwepo kwa tatizo la ukusanyaji
mapato usioridhisha kutokana na kuwepo
kwa mianya ya ukwepaji wa kodi.
Mwenyekiti wa kamati
hiyo DK Hamisi Kigwangala alisema ukusanyaji
wa mapato katika halmashauri zilizotembelewa mkoani humo kutoridhisha,kwa sababu mbalimbali
ikiwemo mianya ya ukwepaji kodi udhamini mdogo wa ukusanyaji wa mapato pamoja
na vitendea kazi vya kisasa.
DK,Kigwangala alisema ilikuendana na hali ya mapato ya nchi ni vema serikali ipunguze matumizi yasiyo ya lazima ikiwamo semina,magari ya gharama kubwa(mashangingi) na ukubwa wa baraza la mawaziri(serikali).
Alisema matumizi yanayotumika kwa mambohayo hazina tija wala faida kwa nchi ambayo uchumi wake ni mdogo na wananchi wanahitaji huduma za msingi ikiwamo miradi mbalimbali ya maendeleo.
Wakati huohuo mwenyekiti huyo kwa niaba ya kamati ameitaka serikali kupunguza utegemezi kwa wafadhili na wahisani wa maendeleo badala yake itumie mapato yake yandani yatakayo na ukusanyaji na usimamizi
mzuri wa matumizi ikiwwezekana
na mwaka huuu serikali itangaze kutotegemea
fedha za ufadhili katika kutekeleza shughuli zake
za maendeleo badala yake fedha za nje ziwe za mikopo wenye masharti nafuuu alisema
Kigwangala .
Alibainisha
kuwa utegemeze wa fedha za wafadhili ndio unaosababisha serikali kutopeleka fedha katika halmashauri kwa wakati ,hivyo miradi
mingi ya maendeleo kushindwa kutekelezwa na minginne kutomalizika kwa wakati
Sambamba na ushauri na agizo hilo Kigwangala kwaniaba ya kamati hiyo amezitaka halmashauri zote nchini kuunda vikosi kazi vitakafuatilia na kubaini vyanzo vyamapato na mianya inayozikosesha mapato ya ndani halmashauri.Alisema uwezo wa halmashauri kukusanya mapato yake ya ndani hauridhishi hivyo kusababisha mzigo mkubwa wa kuwahudumia wananchi kubebwa na serikali kuu.
Alisema ilikuhakikisha zoezi linafanikiwa wakuu wawilanye kamati hiyo kabla bunge la sasa kuvun.BOFYA HAPA
Post a Comment