0




 HI NI NYUMBA YA WAZEE  WASIOJIWEZA RASBURA LINDI


Mwaandishi wetu Lindi

Mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma  PSPF umetoa misaada  mbalimbali  ya vyakula kwa  kituo cha watoto yatima huruma, kanisa TAG  na kituo cha kulelea wazee cha rasbura  wenye thamani ya zaidi shs milioni. 1.5 na ukiitaka jamii  kuwalinda  na kuwathamani  na kuwahepusha  na hatari za maisha.
wito huo umetolewa  na meneja mfuko huo mkoa wa Lindi Ramadhani Mtumwa  wakati alipokuwa a alipokuwa anakabidhi msaada huyo kwa nyakati tofauti

mtumwa alisema  kitendo hichi ni hali  na utaratibu wa kawaida wa mfuko  kutoa misaada kwa jamii hasa kuelekea kwenye sikukuu ya mwaka mpya na chrimas

alisema msaada huyo umetolewa ili kusaidia kupunguza changamoto  na matatizo  ya watoto  yatima  kuelekea kwenye sikuu  ambapo familia zinazolelewa na wazazi na walezi  usherekea sikuku hizo kwa furaha kubwa na wafanya watoto yatima kuisi wako dunia tofauti

sambamba na ilo mtumwa alitaka jamii kujiunga na mfuko wa PSPF  kwa kupitia mpango wa uchangia kwa hiari ili  kujiwekea akiba ya baadaye baada ya kuishi nguvu za kufanya kazi,

Post a Comment

 
Top