HI NI NYUMBA YA WAZEE WASIOJIWEZA RASBURA LINDI
Mwaandishi wetu Lindi
Mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma PSPF umetoa misaada mbalimbali ya vyakula kwa kituo cha watoto yatima huruma, kanisa TAG na kituo cha kulelea wazee cha rasbura wenye thamani ya zaidi shs milioni. 1.5 na ukiitaka jamii kuwalinda na kuwathamani na kuwahepusha na hatari za maisha.
wito huo umetolewa na meneja mfuko huo mkoa wa Lindi Ramadhani Mtumwa wakati alipokuwa a alipokuwa anakabidhi msaada huyo kwa nyakati tofauti
mtumwa alisema kitendo hichi ni hali na utaratibu wa kawaida wa mfuko kutoa misaada kwa jamii hasa kuelekea kwenye sikukuu ya mwaka mpya na chrimas
alisema msaada huyo umetolewa ili kusaidia kupunguza changamoto na matatizo ya watoto yatima kuelekea kwenye sikuu ambapo familia zinazolelewa na wazazi na walezi usherekea sikuku hizo kwa furaha kubwa na wafanya watoto yatima kuisi wako dunia tofauti
sambamba na ilo mtumwa alitaka jamii kujiunga na mfuko wa PSPF kwa kupitia mpango wa uchangia kwa hiari ili kujiwekea akiba ya baadaye baada ya kuishi nguvu za kufanya kazi,
Post a Comment