0

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwete
mchana huu ataanza kuzungumza na Wazee wa Dodoma katika ukumbi wa
Kilimani mjini Dodoma wakati wowote kuanzaia sasa. Usikose kuangalia
mazungumzo hayo yatayooneshwa moja kwa moja na TBC One pamoja na
mtandao wa www.ikulu.go.tz
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA RAIS IKULU,

NOVEMBA 4, 2014

Post a Comment

 
Top