Komando wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus.
KOMANDO wa
JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus Gowele
amefikishwa mahakama ya wilaya Temeke leo akishtakiwa kwa mauaji.
Mshitakiwa amekana shitaka.Kesi yake imeahirishwa mpaka Novemba 4, 2014.
(PICHA NA RICHARD BUKOS, ISSA MNALLY/GPL)
Post a Comment