Ushindani wa biashara katika huduma za benki nchini
Tanzania, umeshuhudia kuanzishwa kwa huduma za benki ya Kiislam, kuvutia
wateja zaidi.
Takriban nusu ya idadi ya Watanzania ni Waislam.Wataalam wa maswala ya fedha wanaashiria ukuaji zaidi katika huduma hizo ambapo hivi sasa tayari zinaonyesha kukua kwa asilimia ishirini kwa mwaka.BBC
Post a Comment