0
Prof. Karim Manji, Profesa na Daktari Bingwa wa Watoto akitoa mada ya usonji (autism) na changamoto ya ufahamu wa jamii na matunzo ya watoto wenye usonji nchini Tanzania katika ukumbi wa mihadhara MUHAS.
Kutoka kulia mstari wa kwanza Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Ulisubisya Mpoki, Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti na Machapisho MUHAS, Dkt. Bruno Sunguya na Mkuu wa Skuli ya Tiba MUHAS, Prof. Sylvia Kaaya wakifuatalia mada ya usonji (autism) na changamoto ya ufahamu wa jamii na matunzo ya watoto wenye usonji nchini Tanzania katika ukumbi wa mihadhara MUHAS.
Kutoka kulia mstari wa mbele, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitafiti, Prof. Appolinary Kamuhabwa, Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Andrea Pembe, Mwenyekiti wa mhadhara wa usonji (autism) na changamoto ya ufahamu wa jamii na matunzo ya watoto wenye usonji nchini Tanzania, Prof. Gad Kilonzo na Rais wa Jumuiya ya Alumni wa MUHAS, Prof. Charles Mgone wakifuatilia mhadhara.
Kutoka kushoto mstari w.a kwanza, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Mipango, Fedha na Utawala, HKMU, Prof. Ndosi na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu, NIMR, Prof. Yunus Mgaya wakimsikiliza Prof. Karim Manji akitoa mada katika ukumbi wa mihadhara MUHAS
Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Ulisubisya Mpoki akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa mhadhara wa usonji (autism) na changamoto ya ufahamu wa jamii na matunzo ya watoto wenye usonji nchini Tanzania, Prof. Gad Kilonzo iliyotolewa na Idara ya Watoto MUHAS.
Prof. Karim Manji akimsaidia Mwenyekiti wa mhadhara wa usonji (autism) na changamoto ya ufahamu wa jamii na matunzo ya watoto wenye usonji nchini Tanzania, Prof. Gad Kilonzo akionyesha zawadi ya saa yenye alama (symbol) ya usonji aliyopewa.
Idara ya Watoto MUHAS wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Ulisubisya Mpoki (aliyeketi katikati), Mwenyekiti wa mhadhara wa usonji (autism), Prof. Gad Kilonzo (wa tatu kushoto), Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Andrea Pembe (wa pili kushoto), Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitafiti, Prof. Appolinary Kamuhabwa (kushoto), Prof. Karim Manji, Profesa na Daktari Bingwa wa Watoto MUHAS (wa tatu kulia), Rais wa Jumuiya ya Alumni wa MUHAS, Prof. Charles Mgone (wa pili kulia) na Mkuu wa Skuli ya Tiba MUHAS, Prof. Sylvia Kaaya (kulia).

Post a Comment

 
Top