0
Lionel Messi, the Kremlin and Thomas MullerHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionDroo ya Kombe la Dunia 2018 itafanyika ukumbi wa State Kremlin Palace
Baada ya mataifa 32 kufanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini Urusi, droo ya kupanga makundi ya timu hizo itafanyika Ijumaa ya Desemba 1 mjini Moscow.
Kuelekea zoezi hilo baadhi ya Timu ambazo zimepangwa chungu kimoja ni chungu cha kwanza ambacho kina timu mwenyeji Urusi, Ujerumani, Brazil, Ureno, Ajentina, Ubelgiji, Poland na Ufaransa.
Afrika inawakilishwa na Misri, Nigeria, Morocco, Tunisia na Senegal.
Na kuelekea fainali hizo FIFA wamesema mpaka sasa kuna maombi milioni 3.5 ya tiketi na walioomba wengi wao ni wenyeji Urusi.

Vyungu vimepangwa vipi?

Vyungu Kombe la Dunia
Chungu 1Chungu 2Chungu 3Chungu 4
Urusi (wenyeji)Uhispania (8)Denmark (19)Serbia (38)
Ujerumani (1)Peru (10)Iceland (21)Nigeria (41)
Brazil (2)Uswizi (11)Costa Rica (22)Australia (43)
Ureno (3)England (12)Sweden (25)Japan (44)
Argentina (4)Colombia (13)Tunisia (28)Morocco (48)
Ubelgiji (5)Mexico (16)Misri (30)Panama (49)
Poland (6)Uruguay (17)Senegal (32)Korea Kusini (62)
Ufaransa (7)Croatia (18)Iran (34)Saudi Arabia (63)
Kombe la Dunia


Post a Comment

 
Top