Mbunge wa IRAMBA MAGHARIBI DKT MWIGULU NCHEMBA amewahaakikishia wanachama wa ccm mkoani RUVUMA kuwa chama hicho kitachukua kata zote zinazoshiriki uchaguzi mdogo wa madiwani katika wilaya ya TUNDURU na MBINGA hayo amesema wakati wa kumnadi mgombea wa wa udiwani katika kata ya MHONGOZI wilayani MBINGA HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE
Related Posts
- DJ Luke Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV 201826 Mar 20180
Matokeo ya Uchaguzi wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Lucas Mukami (DJ Luke) ibuka mshindi wa Urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV kwa kura 315, dhidi ...Read more »
- VIDEO: WAHITIMU 415 MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI-LIWALE25 Feb 20180
Kusoma habari hii na picha zaidi bofya>>HAPA Read more »
- Afande sele atangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM)16 Mar 20180
Msanii mkongwe wa BongoFleva nchini Afande sele atangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) mwezi huu march mbele ya Rais Dkt. Maguf...Read more »
- Sababu za Moise Katumbi kuanzisha Chama akiwa Afrika Kusini12 Mar 20180
Mfanyabiashara maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi ambaye sasa amejitosa kwenye ulingo wa siasa, anazindua chama chake a...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.