0
Mbunge wa IRAMBA MAGHARIBI DKT MWIGULU NCHEMBA amewahaakikishia wanachama wa ccm mkoani RUVUMA kuwa chama hicho kitachukua kata zote zinazoshiriki uchaguzi mdogo wa madiwani katika wilaya ya TUNDURU na MBINGA hayo amesema wakati wa kumnadi mgombea wa wa udiwani katika kata ya MHONGOZI wilayani MBINGA HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE 

Post a Comment

 
Top