0


Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt. Mussa Mgwatu (wa kwanza kushoto) akitazama moja ya malighafi inayotumika katika ujenzi wa maegesho mapya ya Lindi Kitunda unaondelea Mkoani Lindi. Maegesho hayo yanatarajiwa kukamilika hivi karibuni na yatasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt. Mussa Mgwatu (wa kwanza kushoto) akitoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga maegesho ya Lindi Kitunda wakati alipokua akikagua maendeleo ya ujenzi huo Mkoani Lindi. Maegesho hayo yanatarajiwa kukamilika hivi karibuni na yatasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt. Mussa Mgwatu (wa kwanza kushoto) akitoa maagizo kwa mkandarasi anayejenga maegesho ya Lindi Kitunda wakati alipokua akikagua maendeleo ya ujenzi wa maegesho hayo Mkoani Lindi. Kulia ni Mtaalamu wa Uchumi kutoka wakala huo Edgar Ruta, Mkurugenzi wa Ukodishaji Mitambo na Huduma za Vivuko Mhandisi Japhet Y. Maselle na mkandarasi anayesimamia ujenzi huo Ndugu Evans Martin. Maegesho hayo yanatarajiwa kukamilika hivi karibuni na yatasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.




Mafundi wa kampuni inayosimamia ujenzi wa maegesho ya kivuko Lindi Kitunda wakiendelea na ujenzi wa maegesho hayo upande wa Kitunda mkoani Lindi. Maegesho hayo yanatarajiwa kukamilika hivi karibuni na yatasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.




Mafundi wa kampuni inayosimamia ujenzi wa maegesho ya kivuko Lindi Kitunda wakiendelea na ujenzi wa maegesho hayo upande wa Kitunda mkoani Lindi. Maegesho hayo yanatarajiwa kukamilika hivi karibuni na yatasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.




Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Lindi Mhandisi Issack Mwanawima (wa kwanza kulia) akisisitiza jambo wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa maegesho ya kivuko Lindi Kitunda mkoani Lindi, wanaomsikiliza (wa pili kulia) ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt Mussa Mgwatu, Mkurugenzi wa Ukodishaji Mitambo na Huduma za Vivuko wa wakala huo Mhandisi Japhet Y. Maselle, pamoja na wawakilishi mbali mbali wa wakala huo. Ujenzi wa Maegesho hayo unatarajiwa kukamilika hivi karibuni na utasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo


Mkandarasi anayesimamia ujenzi wa maegesho ya Lindi Kitunda Ndugu Evans Martin (wa kwanza kulia) akimuonyesha kitu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt Mussa Mgwatu (wa kwanza kushoto) wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa maegesho hayo mkoani Lindi ambao unaendelea. Ujenzi wa Maegesho hayo unatarajiwa kukamilika hivi karibuni na utasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.
Mkurugenzi wa Ukodishaji Mitambo na Huduma za Vivuko wa wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle (wa tatu kulia) akitoa maelekezo kwa mkandarasi anayesimamia ujenzi wa maegesho ya Lindi Kitunda wakati alipokua akikagua maendeleo ya ujenzi huo mkoani Lindi, wa pili kulia anayetazama ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt Mussa Mgwatu. Ujenzi wa Maegesho hayo unatarajiwa kukamilika hivi karibuni na utasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha huduma za usafiri wa majini katika eneo hilo.

Post a Comment

 
Top